Saturday, March 22, 2014

KAMA ULIKOSA MECHI YA CHELSEA NA ARSENAL YA LIGI KUU.... TAZAMA HII VIDEO YA MAGOLI YOTE...


MSIMAMO LIGI KUU UENGEREZA HUU HAPA.....

KINACHOENDELEA LIGI KUU TANZANIA BARA...... YANGA 1-0 RHINO RANGERS *Jerson Tegete '29

MATOKEO YA MECHI KATI YA CHELSEA NA ARSENAL LIGI KUU UINGEREZA....... CHELSEA 6-0 ARSENAL




Mabao ya Timu ya Chelsea yamefungwa na Samweli Eto'o, Schurrle, Hazard akifunga kwa mkwaju wa penalti Oscar akitupia mabao mawili na Salah bao la sita na la Ushindi.

TAARIFA KUHUSU NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA

China imeanza kuchunguza picha mpya za setilite zinazoonyesha kitu kama mabaki ya ndege kwenye eneo la kusini mwa bahari ya Hindi.
Picha hizo ni muhimu kwa ndege ya Malaysia MH370 iliyopotea, maafisa wa Malaysia wanasema.
Kaimu Waziri wa Usafirishaji Hishammuddin Hussein amesoma taarifa hiyo baada ya kukabidhiwa ambapo amesema kuna kitu kama mabaki ya ndege chenye ukubwa wa mita 30 kwa 22 kilichoonekana.
Amesema serikali ya China itaendelea kutoa taarifa zaidi hapo baadae.
Ndege MH370 mali ya Shirika la ndege la Malaysia ilipotea kwenye mawasiliano ilipokuwa imeondoka kutoka Kuala Lumpur kwenda Beijing march 8 ikiwa na abiria 239.

VIJANA TANZANIA KUWEZESHWA NA IPTL

 Kampuni ya Ufuaji Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imeanza utekelezaji wa mpango wake wa kuwezesha miradi mbalimbali kwa vijana wa Kitanzania kuimarika kiuchumi  ikiwa na lengo la kukuza maendeleo ya uchumi nchini.

Friday, March 21, 2014

HABARI MPASUKO:ROBIN VAN PERSIE NJE WIKI 6



Mshambuliaji wa kimataifa wa Mancheater United Robin Van Persie atskuwa nje ya uwanja kwa takribani wiki 6 baada ya kuteguka eneo la goti.

Kwa taarifa hii van Persie anaweza kukosa michezo Man United dhidi ya Man City katika mzunguko wa ligi kuu Uingereza na Bayern Munichen katika mashindano ya Klabu bingwa Ulaya katika hatua ya robo fainali.

Van Persie aliifanikishia Man United kukata tiketi ya kwenda robo fainali kwa kuifungia mabao matatu dhidi ya Olympicos ya Ugiliki na mchezo huo kumalizika kwa Man United kushinda mabao 3-0 hata kuitupa Olympiacos nje ya michuano. Mchezo huo ulikuwa wa marudiano ambapo awali Man U ilichapwa bao 2-0 ikiwa ugenini.

Van Persie alifunga hatrick katika mchezo huo.

MTANDAO WA TWITTER KUFUNGWA UTURUKI

Mtandao wa kijamii wa , Twitter, unafungwa nchini Uturuki , saa chache baada ya waziri mkuu , Recep Tayyip Erdogan, kuahidi kuuondoa .
Bwana Erdogan ambaye anakabiliwa na kashfa kubwa ya ufisadi aliwaambia maelfu ya wafuasi wake katika mkutano wa uchaguzi kuwa

HABARI MPASUKO: AJALI IMETOKEA UBUNGO...!


Ajali imetokea Ubungo mataa jijini Dar Es Salaam baada ya Lori kuacha njia na kugonga magari matano.
Wangapi wamejeruhiwa na vinginevyo bado haijafahamika.... Usiache kupitia godbtz.blogspot.com

MAN U YUKO NA NANI......... TAZAMA! RATIBA ROBO FAINALI UEFA HII HAPA.....

KIONGOZI WA UPINZANI AACHILIWA BURUDI



Frederic Bamvuginyumvira alichiliwa kwa dhamana ili aweze kupokea matibabu
Mahakama nchini Burundi imemwachilia kwa dhamana kiongozi mmoja mkuu wa upinzani aliyekabiliwa na kashfa za ngono pamoja na ulaji rushwa.
Wafuasi wake wanasema kuwa mashitaka hayo yalikuwa njama ya serikali kumzuia kushiriki uchaguzi mkuu kugombea urais dhidi ya Rais wa sasa Pierre Nkurunziza.

MABESTE NA B-HITS KWENYE HEADLINES TENA..... CHEKI HII POST YA MABESTE FACEBOOK...

Thursday, March 20, 2014

MWANAFUNZI CHUO KIKUU DODOMA/UDOM AJIRUSHA GHOROFANI

Tazama Picha za Tomas Hurbocan Mchezaji wa Zenit Petersburg baada ya kuumia alipogongana na Robert Liwandowsk mshambuliaji wa Borussia Dortmund jana #UEFA

Down and out: Tomas Hubocan lies on the turf, bloodied, after colliding with Robert Lewandowski


Down and out: Tomas Hubocan lies on the turf, bloodied, after colliding with LewandowskiDown and out: Tomas Hubocan lies on the turf, bloodied, after colliding with Lewandowski

tazama picha za matukio ya Van Persie baada ya kuumia jana wakati Man U ilipoivaa Olympiacos ya Ugiriki........

Cut short: The Dutchman is taken off the Old Trafford pitch on  stretcher after his clash with Kostas Manolas
Van Persie akitolewa nje ya uwanja.
Helping hand: Wayne Rooney offers support to his team-mate as he receives treatment on a stretcher
Wayne Rooney akidadisi hali ya Van Persie baada ya kuumia jana.
Concern: Robin van Persie left the field of play on a stretcher following a late challenge by Kostas Manolas
Van Persie akilazwa kwenye machela baada ya kuumia.


VAN PERSIE FITI KUIVAA MAN CITY

 Concern: Robin van Persie left the field of play on a stretcher following a late challenge by Kostas Manolas
Robin van Persie atakuwa fiti kuikabili Manchester City katika derby wiki ijayo licha ya kupata jeraha na kubebwa kwenye machela katika mchezo wa marudiano wa ligi ya mabingwa ulaya uliozikutanisha Manchester United na Olympiacos Jumatano usiku.

Van Persie alikuwa shujaa katika mchezo huo baada ya kuifungia Man United mabao 3 na kuipa ushindi jumla ya mabao 3-0 (3-2 Ag.)  dhidi ya Olympiacos.

Van Persie alipata jeraha dakika za mwisho za mchezo huo baada ya kukatwa na mlinzi Kostas Manolas.