Saturday, March 22, 2014

MATOKEO YA MECHI KATI YA CHELSEA NA ARSENAL LIGI KUU UINGEREZA....... CHELSEA 6-0 ARSENAL




Mabao ya Timu ya Chelsea yamefungwa na Samweli Eto'o, Schurrle, Hazard akifunga kwa mkwaju wa penalti Oscar akitupia mabao mawili na Salah bao la sita na la Ushindi.