Msimamo Ligi kuu Uingereza
Kikao cha bunge maalum la katiba kimeshindwa kuendelea leo hii
baada ya kukatika kwa matangazo ya moja kwa moja kupitia televisheni ya Taifa
TBC na kulalamikiwa na wajumbe 'kundi la wachache' wanaotaka serikali tatu,
ambapo taarifa yao ya kamati namba nne ndio ilikuwa ikiwasilishwa.
Mwenyekiti wa bunge hilo maalum la katiba mh. Samwel Sitta alisema
lengo la bunge kuingia mkataba na TBC ni










