Monday, June 16, 2014

MAJERAHA NA VIFO KENYA TENA!!!

Watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Kiislamu wameshambulia kituo cha polisi na mahoteli na vijiji mjini Mpeketoni, pwani ya Kenya .
Makabiliano makali yameripotiwa sehemu kubwa ya Jumapili usiku huku wakaazi wakitorokea maeneo ya msitu karibu na kisiwa cha Lamu..
Hata hivyo vyombo vya habari vinasema idadi hiyo huenda ikawa juu zaidi.Shirika la msalaba mwekundu linasema kuwa hadi kufikia sasa watu 48 wanahofiwa kuuawa kartika shambulizi hilo lililotokea usiku wa kuamkia leo.
Shambulizi lilifanyika

Saturday, May 17, 2014

BJP WASHINDA UCHAGUZI INDIA

Chama cha upinzani nchini India BJP kimeshinda uchaguzi mkuu kwa kupata idadi kubwa zaidi ya kura kuliko chama kingine chochote.

Kiongozi wa chama BJP Narendra Modi,amesema kuwa wananchi wajiandae kwa mambo mazuri
Matokeo ya awali yalionyesha kuwa chama hicho kimepata kura nyingi kiasi cha kuweza kutawala bila ushirikiano wowote na chama kingine.
Wafuasi wa upinzani wanasherehekeakatika makao makuu ya chama hicho.
Chama tawala cha Congress kimeshindwa baada ya kuwa mamlakani kwa miaka kumi.