Saturday, April 26, 2014
Tanzania yatimiza miaka 50 ya Muungano
Jana,
tarehe 26 ,Tanzania imeadhimisha miaka 50 ya Muungano tangu nchi ya Tanganyika
na Zanzibar zilipoungana na kuzaa nchi ya Tanzania.
Nchi
hizi mbili yaani Tanganyika na Zanzibar ziliungana April 26, mwaka 1964. Hii
hapa historia ya Muungano huo
Historia
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaanzia April 26 mwaka 1964 siku ambayo Nchi
ya Jamuhuri ya Tanganyika ambayo kwa sasa ni Tanzania bara pamoja na iliyokuwa
Jamuhuri ya Zanzibar (inayojumuisha Visiwa vya Pemba na Unguja) ziliungana na
kuwa nchi moja.
Labels:
News
Tsvangirai asimamishwa uongozi MDC
Chama cha upinzani nchini Zimbabwe cha Movement for Democratic
Change MDC kimemsimamisha kiongozi wake Morgan Tsvangirai kwa kukiuka kanuni za
kidemokrasia.
Katibu Mkuu wa MDC Tendai Biti, amethibitisha hilo katika
mkutano wa chama hicho uliofanyika katika mji Mkuu Harare.
Tsvangirai alitumikia taifa la Zimbabwe katika nafasi ya
Labels:
News
Thursday, April 24, 2014
wauawa katika mlipuko Nairobi

Watu wanne, wakiwemo maafisa wawili wa polisi, wameuawa jana usiku mjini
Nairobi baada ya gari walilolizuia kulipuka, lilipokuwa likielekea katika kituo
cha polisi katika eneo la Pangani, jijini Nairobi.
Bomu la pili lilipatikana katika gari hilo baada ya mlipuko huo na wataalamu wa mabomu waliliharibu.
Maafisa wa polisi
wanasema wanajaribu kuitambua miili ya washukiwa hao ambayo iliharibiwa vibaya
kiasi cha kutoweza kutambulika.
Usalama umeimarishwa katika eneo hilo na polisi wanaendelea kufanya uchunguzi.
Bosco Mugendi ana kibanda cha kuuza vitu vidogovidogo karibu na lango la kuingia kwenye kituo cha polisi cha Pangani kulikotokea mlipuko huo. Alunukuliwa akisema:"kile kilichonikuta katika kibanda changu ni nyama ya watu iliyonirukia halafu mimi nikatoroka na kutoka nje."
Mtaalamu wa maswala ya usalama jijini Nairobi, George Musamali, aliambia BBC kuwa maafisa wa polisi waliokuwa wakisindikiza gari kuelekea kituo hicho cha polisi walikuwa kwenye gari la washukiwa ambalo lililipuka baadaye.
kutoka bbc.com/swahili
Wednesday, April 23, 2014
KWA AFYA YAKO >> BANGI NI NINI.. INA ATHARI GANI..?

BAADA ya kuwepo kwa baadhi ya tafiti zilizokuwa zikiruhusu
uvutaji wa bangi kwa madai kwamba ilisaidia wagonjwa waliosumbuliwa na msongo
wa mawazo, hali hiyo imesababisha baadhi ya nchi kuruhusu matumizi yake.
Pamoja na mawazo ya wengi kufikiria kuwa kutokana na nchi ya Jamaica ndiyo ilikuwa mstari wa mbele kwa watumiaji wengi ingekuwa ya kwanza kuruhusu bangi, lakini ukweli ni kwamba nchi ya Canada ndiyo ilikuwa ya kwanza kukubali bangi kutumiwa kama dawa ya maradhi.
Pamoja na mawazo ya wengi kufikiria kuwa kutokana na nchi ya Jamaica ndiyo ilikuwa mstari wa mbele kwa watumiaji wengi ingekuwa ya kwanza kuruhusu bangi, lakini ukweli ni kwamba nchi ya Canada ndiyo ilikuwa ya kwanza kukubali bangi kutumiwa kama dawa ya maradhi.
Baada ya utafiti huo wa awali hivi karibuni watafiti
wengine wamegundua kuwa matumizi ya bangi kwa muda mrefu yanasababisha
kujiongezea madhara badala ya kutibu kama ilivyokuwa ikisemekana hapo awali.
Watafiti hao wamekwenda kinyume na wale wa kwanza kwa kusema kuwa matumizi yake yana uwezekano mkubwa wa kumletea mtumiaji magonjwa ya kupungua uzito mara kwa mara, magonjwa ya figo, ini na ugonjwa wa akili.
Watafiti waliogundua athari hizo ni
Watafiti hao wamekwenda kinyume na wale wa kwanza kwa kusema kuwa matumizi yake yana uwezekano mkubwa wa kumletea mtumiaji magonjwa ya kupungua uzito mara kwa mara, magonjwa ya figo, ini na ugonjwa wa akili.
Watafiti waliogundua athari hizo ni
Labels:
documentary
Tuesday, April 22, 2014
United Wamtimua Moyes
Meneja David Moyes amepigwa kalamu na Manchester
United, klabu hicho kimetangaza Jumanne baada ya msimu wake wa kwanza kugeuka
kuwa janga kubwa kwa magwiji hao wa Uingereza.
“Manchester
United wanatangaza kuwa David Moyes ameondoka kwenye klabu hiki,” United
walichapisha kwa anwani yao rasmi katika mtandao wa kijamii wa Twitter.
“Klabu
hiki kingependa kumshukuru kwa bidii, uadilifu na unyofu alioleta kwa wadhifa
wake.”
Habari
za kutimuliwa kwa Moyes zilijili baada ya vyombo vya habari Uingereza kutangaza
kuwa utawala wa miezi 10 wa Moyes unayoyoma baada ya kumrithi gwji Sir Alex
Ferguson aliyestaafu msimu jana.
Raia
huyo wa Scotland 50, amejipata kwa balaa moja hadi nyingine huku United,
mabingwa wa ligi ya Premier wakishuka hadi nafasi ya saba na kuchakazwa kao 2-0
na Everton Jumapili kulidhibitisha hawatafuzu kombe la mabingwa kwa mara ya
kwanza tangu 1995.
United
wamo alama 13
Labels:
News
MCHEZAJI AFARIKI DUNIA GABON BAADA YA KUKANYAGWA KICHWANI
Mchezaji wa klabu ya Ac Bongoville,Sylvain Azougoui amefariki
baada ya kupigwa teke ya kichwani wakati wa mechi ya ligi kuu nchini Gabon.
Kipa huyo alifariki alipokuwa akipelekwa hospitalini baada ya
tokeo hilo wakati wa mechi yao dhidi ya klabu ya Centre Mberi Sportif.
Kipa huyo mwenye umri wa miaka 30 kutoka Togo alikuwa
Labels:
News
Monday, April 21, 2014
AJALI .....30 WAPOTEZA MAISHA!
Watu 30 wamepoteza maisha katika ajali ya la Luhuye lililokuwa likitoka Musoma kuelekea Mwanza baada ya kugonga mti na kupinduka wilayani Busega leo asubuhi.
Kutoka Global Publisher via +25515578
Labels:
News
Sunday, April 20, 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)