Jana,
tarehe 26 ,Tanzania imeadhimisha miaka 50 ya Muungano tangu nchi ya Tanganyika
na Zanzibar zilipoungana na kuzaa nchi ya Tanzania.
Nchi
hizi mbili yaani Tanganyika na Zanzibar ziliungana April 26, mwaka 1964. Hii
hapa historia ya Muungano huo
Historia
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaanzia April 26 mwaka 1964 siku ambayo Nchi
ya Jamuhuri ya Tanganyika ambayo kwa sasa ni Tanzania bara pamoja na iliyokuwa
Jamuhuri ya Zanzibar (inayojumuisha Visiwa vya Pemba na Unguja) ziliungana na
kuwa nchi moja.
Tanganyika na Zanzibar;
![]() |
Amiri Jeshi Mkuu wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Raid Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) sambamba na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange (kulia) wakiingia katika uwanja wa taifa wa Uhuru tayari kushereheka maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.![]() Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua vikosi vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar. ![]() Kikosi cha Makomandoo kikipita kwa mwendo wa aina yake wakati wa sherehe za miaka 50 ya muungano. ![]() Vilevile Mkomandoo walipata fursa ya kufanya vitu vyao. Hapa wakipasua matofali vichwa na ngumi. |