Thursday, April 3, 2014

sikiliza na download wimbo mzima wa Professor Jay ft. Diamond - Kipi Sijasikia NEW!

MAKABURI AMEZIKWA SIKU YA JUMANNE USIKU


Mhubiri mwenye utata aliyeuawa na polisi mjini Mombasa Jumanne usiku, Abubakar Shariff Makaburi alizikwa usiku wa manane kuamkia leo.
Maziko yake yalifanyika saa sita baada ya watu wasiojulikana kumuua akiwa nje ya mahakama ya Shanzu mjini Mombasa.

Wednesday, April 2, 2014

RAIS JACOB ZUMA KUJIELEZA MBELE YA KAMATI YA BUNGE YA AFRIKA KUSINI KUHUSU KUFUJA PESA....

Rais Jacob Zuma anatarajiwa kufika mbele ya kamati ya Bunge la A-Kusini kujieleza kuhusu kashfa ya kufuja pesa za umma zilizotumiwa kukarabati nyumba yake ya kifahari.
Ukarabati huo uligharimu dola million 23 na Bw Zuma ameamrishwa na mkaguzi au mlinzi wa mali ya umma nchini humo alipe baadhi ya pesa hizo .
Zuma alisema Jumatatu kuwa

LISTEN & DOWNLOAD 'KIPI SIJASIKIA' PROFESA JAY FEAT. DIAMOND PLATNUM NEW!

Tuesday, April 1, 2014

SATRINE ATOLEWA RISASI ILIYOKWAMA KWENYE UBONGO..!

Madaktari katika hospitali kubwa zaidi ya umma nchini Kenya,Kenyatta, wamefanikiwa kutoa risasi iliyokuwa imekwama katika ubongo wa mtoto Satrine Osinya mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu.


Risasi hiyo iliyomuingia mtoto Satrine kichwani ndiyo iliyomuua mamake.
Mamake Satrine alikuwa amempakata mtoto wake ili kumlinda kutokana na magaidi waliovamia kanisa walimokuwa wiki moja iliyopita katika mtaa wa Likoni mjini Mombasa.


Sunday, March 30, 2014