Monday, April 21, 2014

AJALI .....30 WAPOTEZA MAISHA!


Watu 30 wamepoteza maisha katika ajali ya la Luhuye lililokuwa likitoka Musoma kuelekea Mwanza  baada ya kugonga mti na kupinduka wilayani Busega leo asubuhi.

Kutoka Global Publisher via +25515578