Friday, March 21, 2014

HABARI MPASUKO: AJALI IMETOKEA UBUNGO...!


Ajali imetokea Ubungo mataa jijini Dar Es Salaam baada ya Lori kuacha njia na kugonga magari matano.
Wangapi wamejeruhiwa na vinginevyo bado haijafahamika.... Usiache kupitia godbtz.blogspot.com