Wednesday, March 12, 2014

CR7 RONALDO.... MWANASOKA TAJIRI KULIKO ULIMWENGUNI!!!

Cristiano-Ronaldo__2719902b
Cristiano Ronaldo katika pose!!


Siku chache baada ya kutajwa na mtandao wa habari za michezo wa Goal.com kuwa mwanasoka tajiri kuliko wote Ulimwenguni, Cristiano Ronaldo amefanya kitendo ambacho kimezidi kumpatia sifa ya kuisadia wale wenye matatizo.


Kwa mujibu wa gazeti la kihispania AS ni kwamba Ronaldo ameamua kumlipia fedha za matibabu mtoto mwenye miezi 10 Erik Ortiz Cruz ambaye ni mgonjwa sana akisumbulia na matatizo kwenye ubongo wake (Cortical dysplasia.)

Kutoka millardayo.com