Wednesday, March 12, 2014

NI SAMWEL SITTA AU ASHIM RUNGWE KUONGOZA BUNGE MAALUM LA KATIBA...??! UCHAGUZI UMEANZA SASA!

Bungeni mjini Dodoma.

Muda mfupi uliyopita wagombeya wa nafasi ya uwenyekiti wa bunge maalum la katiba mheshimiwa Samwel John Sitta na Ashim Rungwe wamekwishajinadi na zoezi la wajumbe kupiga kura limeanza sasa.