Wednesday, March 12, 2014

VAN PERSIE HURU KUZUNGUMZA NA KLABU NYINGINE...!!

Robin Van Persie



Manchester United imekuwa na mwenendo mmbaya katika michezo yake mingi msimu huu hususa katika mashindani ya ligi kuu Uingereza (BPL). Iko nafasi ya saba katika msimamo wa ligi.

Wiki ijayo itaikaribisha Olympicos katika dimba la Old Traffold pale Uingereza katika mechi ya marudiano ya mtoano kwenye ligi ya mabingwa UEFA.

kutoka goal.com